FABREGAS ATUA CHELSEA KWA PAUNI MILIONI 30
Kiungo huyo ameishukuru Barcelona ambapo amekaa miaka mitatu kwa furaha.
"Ilikuwa timu yangu ya utotoni na nitajivunia kila mara kupata nafasi ya kuchezea timu hiyo kubwa"
"Nahisi bado sijamaliza kazi katika Premier League na kwa sasa ni muda muafaka mimi kurudi England…
roa maoni yako
Comments
Post a Comment