TATOO YA NUH YENYE JINA LA SHILOLE YAZUA UTATA

 

Msanii chipkizi Nuh Mziwanda anayechipukia kwenye anga za bongo fleva amezua utata baada ya kuchola tatoo mkononi yenye jina la mpenzi wake Shilole
 
cheki alivyoandika kwenye Instagram. “Coz nampenda mke wangu nimeamua kuchora jina lake! Ila imeuma kuliko tattoo iliyopita! Siju kwa nn??,”
Shilole alijibu: Thankx my lv 4 dis! Umeonyesha lv ya ukweli
chezea Bongo wewe

toa maoni yako...............

Comments

Popular posts from this blog

hii ni list ya baadhi ya majina ya wasanii wa Nigeria waliohit mwaka huu kuanzia A-Z

mbinu za kuwa producer au mtayarishaji wa music