Posts

Showing posts from July, 2015

wadau wa muziki waijia juu BASATA baada ya kumsimamisha Shilole kufanya muziki mwaka mmoja

Image
kumekuwa na na mawazo tofauti ya wadau mbalimbali kuhusiana na taarifa iliyotolewa na basata ya kumsimamisha mwanadada Shilole kufanya muziki kwa muda wa mwaka mmoja na haya ni baadhi ya malalamiko ya wadau wa muziki kupitia mitandao ya kijamii Sain Meles HABARI HII SIYO NZURI , HII INARUDISHA NYUMA MAENDELEO YA WASANI HUSUSAN WAKIKE WANAOFANYA VIZURI NCHINI AMBAO NAO BADO NI WACHACHE , Hata hivyo Shilole hakucheza uchi kama inavyo daiwa , ziwa lake lilitoka nje kwa bahati mbaya akiwa stejini pia aliwai kuwaomba Watanzania msamaha kwa kile kilichotokea, ingawaje BASATA mnalikuza tukio hilo kama vile bado analiendeleza, Kwahiyo mnamsitisha kufanya Music mnataka afanye nini? Vipi familia ndugu na jamaa zake wanaonufaika kupitia kazi zake? Adhabu ya Mwaka mmoja ni kumrudisha nyuma kimaendeleo , Hivi mnajua Shilole ameteseka kiasi gani mpaka kuwa Star Hapa bongo? Nadhani hamlifahamu hilo ndiyo maana mnachukulia poa. Nawe Mtanzania unaeshangilia Kufungiwa kwake inaku

ataka ubunge kisa kasoma na Magufuli

Baada ya Urais sasa Vituko vimeanza katika kampeni za kuwania kuteuliwa na CCM kugombea nafasi za Ubunge katika majimbo mbalimbali nchini. Moja ya vituko hivyo ni kile kilichotolewa na Mbunge wa Dodoma Mjini anayemaliza muda wake Dk.David Mallole ambaye jana wakati akijinadi kwa wanachamawa chama hicho, aliwaomba wamteuwe kwa mara nyingine kwa sababu amesoma darasa moja na mgombea Urais John Magufuli. Wakati hayo yakijiri Dodoma, Jimbo la Kinondoni msanii Steve Nyerere aliomba achaguliwe kwani ana uwezo wa kupita katika ofisi za mabalozi wa nje waliopo jijini Dar es salaam kuomba misaada. Kampeni hizo zilianza jana wakati Dar wakati wagombea wakijinadi mbele ya wajumbe kabla ya kupiga kura ya maoni Agosti mosi mwaka huu. “Wilaya ya Kinondoni ndio inayoongoza kwa kuwa na ofisi nyingi za mabalozi, mkinichagua nitahakikisha nakwenda wenye Ubalozi wa Marekani kuomba misaada kwa ajili ya kuwawezesha vijana…Nitakwenda Ubalozi wa China kuomba atusaidie kuondoa mafuriko yanayolijumba jimbo hil

SIKILIZA WIMBO MPYA WA MR BLUE CHANGAMOTO

Image
play and download Mr Blue CHANGAMOTO

CHEKA LEO sehemu ya tatu (3)

Image
cheka leo ni mkusanyiko wa picha, video na stori za kuchekesha kutoka sehemu mbali mbali kama mitandao ya kijamii, blog mbali mbali na sehemu nyinginezo vitakavyo kufanya ucheke na uweke siku yako kuwa ya furaha isiyo na kifani

CHEKA LEO sehemu ya pili (2)

Image
cheka leo ni mkusanyiko wa picha, video na stori za kuchekesha kutoka sehemu mbali mbali kama mitandao ya kijamii, blog mbali mbali na sehemu nyinginezo vitakavyo kufanya ucheke na uweke siku yako kuwa ya furaha isiyo na kifani   cheka na picha 1 hii ndio mlimani city jamaa kaamua kujenga na kuandika MLIMANI CETY badala ya MLIMANI CITY vipi inaionaje hii 2 mambo ya kuchabo 3 unamuonaje huyu jamaa cheka na stori sasa 1 Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi... Wamefunga duka? 2 Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwi

CHEKA LEO sehemu ya kwanza (1)

Image
cheka leo ni mkusanyiko wa picha na stori za kuchekesha kutoka sehemu mbali mbali kama mitandao ya kijamii, blog mbali mbali na sehemu nyinginezo vitakavyo kufanya ucheke na uweke siku yako kuwa ya furaha isiyo na kifani LEO

short story of Davido (Biography)

Davido (born David Adeleke) is a performing and recording artiste and also a music producer. Davido was born in Atlanta GA, USA on November 21st to Mr. And Mrs. Adeleke and attended The British International School, Lagos. Travelling between the USA, the UK and Nigeria, Davido has experienced different cultures but still stays true to his roots and this is evident in his music and the people he considers his biggest influences musically, which include Don Jazzy, 2 Face idibia, Sound Sultan and Wande Coal. Though Davido started music professionally a year ago, he has been performing and making music since the age of 11. Now 18, he has set up a record label called HKN Music, jointly owned by Davido and Ade, his older brother. The saying “If you want something done, do it yourself” is what led the brothers start the label as Davido believes that as a producer and recording artiste, he would be in the best position to create music that suits his style. When asked to choose an

kama haujawahi kuiona CV ya LOWASSA fungua hapa

Image
Member of Parliament CV GENERAL Salutation Hon. Member picture First Name: Edward Middle Name : Ngoyai Last Name: Lowassa Member Type: Elected Member Constituent: Monduli Political Party: Chama Cha Mapinduzi Office Location: P.O. Box 139, Monduli Office Phone: +255 754 800000 Office Fax: +255 22 2452037 Office E-mail: