CHEKA LEO sehemu ya pili (2)

cheka leo ni mkusanyiko wa picha, video na stori za kuchekesha kutoka sehemu mbali mbali kama mitandao ya kijamii, blog mbali mbali na sehemu nyinginezo vitakavyo kufanya ucheke na uweke siku yako kuwa ya furaha isiyo na kifani

  cheka na picha
1
hii ndio mlimani city jamaa kaamua kujenga na kuandika MLIMANI CETY badala ya MLIMANI CITY vipi inaionaje hii

2
mambo ya kuchabo

3
unamuonaje huyu jamaa


cheka na stori sasa

1

Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi... Wamefunga duka?


2
Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"

 

Comments

Popular posts from this blog

hii ni list ya baadhi ya majina ya wasanii wa Nigeria waliohit mwaka huu kuanzia A-Z

mbinu za kuwa producer au mtayarishaji wa music