Posts

Showing posts from 2015

Fm Academia - Moyo wangu (video HD)

"Muziki wa dansi umeendelea sana" Thibitisha kauli hii wewe mwenyewe kwa kutizama video hii ya fm academia wimbo unaitwa MOYO WANGU Fm Academia - Moyo wangu (video HD)

VIDEO MPYA YA MIRROR WA WEMA SEPETU wimbo unaitwa MWAJUMA NDALA NDEFU

Image
inawezekana hii ikawa ni ngeni masikioni kwako lakini ina miaka mitano tangu itoke na kipindi hicho Mirror alikuwa pamoja na wenzie wanne waliounda kundi liitwalo Better Crew producer wa wimbo huu ni C9 enjoy

DIAMOND AWAKUBALI WASANII HAWA KUTOKA MBEYA

Image
AfroMagic ni kundi la vijana wadogo wanamuziki waliokuja juu ghafla baada ya kufanya video yao kali iliyowashangazi watu wengi wakiwepo mastaa kwa sababu imefanyika mbeya na muongozaji akiwa ni ABAS lakini ubora wake ni kama video zinazoshutiwa South Africa angalia video yao hapo juu kisha acha coment yako chini

CCM YAZUIA UKAWA KURUSHA MATANGAZO KATIKA TELEVISHENI?

Vyama vya Chadema na CCM vimeingia katika mchuano wa kuwania nafasi ya kurusha matangazo ya moja kwa moja ya kampeni za wagombea urais katika televisheni Jumamosi hii. Wakati Chadema ikitaka muda wa kurusha matangazo ya uzinduzi wa kampeni za mgombea wake, Edward Lowassa kutokea jijini Dar es Salaam, CCM inataka kurusha matangazo ya mkutano wa kampeni ya mgombea wake, Dk John Magufuli kutoka jijini Mbeya. Ofisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene alisema jana kuwa kumekuwa na njama za CCM kutaka kuzuia fursa ya Chadema kurusha kampeni za mgombea wake kwa kutaka siku hiyo irushe kampeni za Dk Magufuli. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alikiri chama hicho kutaka kurusha matangazo ya mgombea wake na kuhoji; “tatizo liko wapi kama Chadema imechelewa kulipia?” “Ni kweli mgombea wetu wa urais akiwa Mbeya tutarusha matangazo ya kampeni zake moja kwa moja kwenye runinga, sasa ni runinga ngapi siwezi kujua maana kuna watu wanalifanyika kazi suala hilo. Lakini kama

IDRIS: NUH MZIWANDA UKITAKA KUMSUMBUA WANGU NJOO NA DICTIONARY

  baada ya kumdhalilishwa kwenye instagram Idris Sultan na Nuhu Mzaiwanda kaamua kumjibu kama ifuatavyo kupitia mtandao huo huo wa instagram   idrissultan Kati ya vitu sisubiri kuambiwa ni ikiwemo kuwa am social. Tabia yangu ikiwemo kupenda watu na kufanya mazungumzo na wengi. Sasa unapokuja na agenda za nje kwangu nakukaribisha sio kuwa sikujui ila nakuvumilia na kukupa mda wa kujirekebisha. Kama mwanaume uliyekamilika huwezi kuja insta kiholelaholela kulalamika kuwa mwanamke wako anasumbuliwa, 1. Huna namba yangu 2. Mbona mwanamke wako hasemi 3. Ulikua unafanya nini kwenye simu yake kukagua message au na pochi unambebea 4. Naanzia wapi kumsumbua mwanamke wako, hivi umemuona wangu kwakweli ? 5. We ni mwanamziki au muuza magazeti mbona uswahili sana ?. Ukitaka kumsumbua wangu sikukatazi ila njoo na dictionary. Watu tuna amani na upendo ila vipepeo vyako vinaweza kuleta unnecessary riots. Najulikana Africa nina mashabiki wanaonipenda na walionichagua na nina ndoto zangu na

Kikwete alisakata lumba na Vanessa wakati Magufuli akipiga tumba Huku Nape akipiga bass gitaa

Image
  Magufuri na Nape wakifanya yao hayo yote nakuletea  mimi mwenyewe bamoja na team yangu kubwa (team MIKI)  sherehe za kumuaga rais JK bado zinaendelea Dr Magufuli na Nape Nauye wamewasaplaiz wasanii na wageni mbali mbali baada ya Magufuli kwenda kupiga ngoma na Nape kwenda kupiga gitaa aina ya bass   Mr JK akicheza na Vanessa Mdehe a.k.a Vee Moneya wakati sherehe sa kumuaga Kikwete zinaendelea kampeni hazikuwa mbali ambazo bado zinaendelea  kuwaletea wasanii hali ya sintofahamu baada ya maandishi ya taarabu yakipita kwenye screen yanayosomekwa hivi " MZIKI WA MAGUFULI UTAUWEZA "

Rais kikwete awaaga wasanii na kumtambulisha Magufuli kama mrithi wake muda huu mlimani city

Image
haya ni mambo yanayoendelea saizi katika ukumbi wa mlimani city dar ambapo wasanii wengi wamekusanyika katika sherehe hizo lakini katika mitandao ya kijamii Watanzania wengi wamekuwa wakiongea maneno mengi kuwa hiyo sio sherehe ya kumuaga Rais JK bali ni sherehe ya kumpigia kampeni Dr John Pombe Magufuri je wewe kama Mtanzania una mtazamo gani?

NJAA KALI YA BUSHOKE YAMFANYA ANYIMWE SAHANI IKULU

Image
msanii mkongwe wa bongo fleva Bushoke amakili kuwa alipoalikwa ikulu kupata chakula cha jioni alivutiwa na sahani pamoja na kijiko ikulu vyenye nembo ya taifa hakuishia kutamani tu bali akaamua kumuomba Rais JK na hata hivyo safari au jitihada zake ziligonga mwamba baada ya JK kumpotezea kwa kumwambia kuwa "hizi si mali zangu ni mali za selikali" aliondoka kiaibu aibu baada ya kukosa mali hizo za serikali yote hayo amayasema saizi usiku huu katika sherehe zinazoendelea za wasanii mbali mbali za kumuaga Rais JK Mlimani City

wadau wa muziki waijia juu BASATA baada ya kumsimamisha Shilole kufanya muziki mwaka mmoja

Image
kumekuwa na na mawazo tofauti ya wadau mbalimbali kuhusiana na taarifa iliyotolewa na basata ya kumsimamisha mwanadada Shilole kufanya muziki kwa muda wa mwaka mmoja na haya ni baadhi ya malalamiko ya wadau wa muziki kupitia mitandao ya kijamii Sain Meles HABARI HII SIYO NZURI , HII INARUDISHA NYUMA MAENDELEO YA WASANI HUSUSAN WAKIKE WANAOFANYA VIZURI NCHINI AMBAO NAO BADO NI WACHACHE , Hata hivyo Shilole hakucheza uchi kama inavyo daiwa , ziwa lake lilitoka nje kwa bahati mbaya akiwa stejini pia aliwai kuwaomba Watanzania msamaha kwa kile kilichotokea, ingawaje BASATA mnalikuza tukio hilo kama vile bado analiendeleza, Kwahiyo mnamsitisha kufanya Music mnataka afanye nini? Vipi familia ndugu na jamaa zake wanaonufaika kupitia kazi zake? Adhabu ya Mwaka mmoja ni kumrudisha nyuma kimaendeleo , Hivi mnajua Shilole ameteseka kiasi gani mpaka kuwa Star Hapa bongo? Nadhani hamlifahamu hilo ndiyo maana mnachukulia poa. Nawe Mtanzania unaeshangilia Kufungiwa kwake inaku