Rais kikwete awaaga wasanii na kumtambulisha Magufuli kama mrithi wake muda huu mlimani city


haya ni mambo yanayoendelea saizi katika ukumbi wa mlimani city dar ambapo wasanii wengi wamekusanyika katika sherehe hizo
lakini katika mitandao ya kijamii Watanzania wengi wamekuwa wakiongea maneno mengi kuwa hiyo sio sherehe ya kumuaga Rais JK bali ni sherehe ya kumpigia kampeni Dr John Pombe Magufuri

je wewe kama Mtanzania una mtazamo gani?

Comments

Popular posts from this blog

hii ni list ya baadhi ya majina ya wasanii wa Nigeria waliohit mwaka huu kuanzia A-Z

mbinu za kuwa producer au mtayarishaji wa music