Kikwete alisakata lumba na Vanessa wakati Magufuli akipiga tumba Huku Nape akipiga bass gitaa

 Magufuri na Nape wakifanya yao

hayo yote nakuletea  mimi mwenyewe bamoja na team yangu kubwa (team MIKI)
 sherehe za kumuaga rais JK bado zinaendelea Dr Magufuli na Nape Nauye wamewasaplaiz wasanii na wageni mbali mbali baada ya Magufuli kwenda kupiga ngoma na Nape kwenda kupiga gitaa aina ya bass


 Mr JK akicheza na Vanessa Mdehe a.k.a Vee Moneya




wakati sherehe sa kumuaga Kikwete zinaendelea kampeni hazikuwa mbali ambazo bado zinaendelea
 kuwaletea wasanii hali ya sintofahamu baada ya maandishi ya taarabu yakipita kwenye screen yanayosomekwa hivi "MZIKI WA MAGUFULI UTAUWEZA"


Comments

Popular posts from this blog

hii ni list ya baadhi ya majina ya wasanii wa Nigeria waliohit mwaka huu kuanzia A-Z

mbinu za kuwa producer au mtayarishaji wa music