NJAA KALI YA BUSHOKE YAMFANYA ANYIMWE SAHANI IKULU


msanii mkongwe wa bongo fleva Bushoke amakili kuwa alipoalikwa ikulu kupata chakula cha jioni alivutiwa na sahani pamoja na kijiko ikulu vyenye nembo ya taifa

hakuishia kutamani tu bali akaamua kumuomba Rais JK na hata hivyo safari au jitihada zake ziligonga mwamba baada ya JK kumpotezea kwa kumwambia kuwa "hizi si mali zangu ni mali za selikali"
aliondoka kiaibu aibu baada ya kukosa mali hizo za serikali

yote hayo amayasema saizi usiku huu katika sherehe zinazoendelea za wasanii mbali mbali za kumuaga Rais JK Mlimani City

Comments

Popular posts from this blog

hii ni list ya baadhi ya majina ya wasanii wa Nigeria waliohit mwaka huu kuanzia A-Z

mbinu za kuwa producer au mtayarishaji wa music