Pohamba:ashinda tuzo ya 2014 ya Mo Ibrahim

Rais anayeondoka madarakani nchini Namibia Hifikepunye Pohamba, 79,ameshinda tuzo ya dola milioni tano ya Mo Ibrahimu ya uongozi wa Afrika.
Tuzo hiyo ya dola milioni 5 hutuzwa kiongozi wa Kiafrika aliyechaguliwa na anayeongoza kwa njia bora na kuinua maisha ya watu na kuondoka ofisini
Bwana Pohamba ambaye anaondoka madarakani baadaye mwezi huu ndiye mwanzilishi wa kundi la SWAPO lililopigania uhuru wa Namibia.
Rais huyo anatarajiwa kumkabidhi madaraka rais mteule Hage Geingob.

Comments

Popular posts from this blog

hii ni list ya baadhi ya majina ya wasanii wa Nigeria waliohit mwaka huu kuanzia A-Z

mbinu za kuwa producer au mtayarishaji wa music