Rais anayeondoka madarakani nchini Namibia
Hifikepunye Pohamba, 79,ameshinda tuzo ya dola milioni tano ya Mo
Ibrahimu ya uongozi wa Afrika.
Tuzo hiyo ya dola milioni
5 hutuzwa kiongozi wa Kiafrika aliyechaguliwa na anayeongoza kwa njia
bora na kuinua maisha ya watu na kuondoka ofisini
Bwana Pohamba ambaye anaondoka madarakani baadaye mwezi huu ndiye mwanzilishi wa kundi la SWAPO lililopigania uhuru wa Namibia.
Rais huyo anatarajiwa kumkabidhi madaraka rais mteule Hage Geingob.
This list includes all music genres e.g. Rnb, pop, Rap / HipHop, Rock, Reggae, Naija, Blues, Jazz, Highlife and Gospel Singers. A-Z List below; A Ada Alabai Amaray Asa Ayinla Omowura Ay . com B Baba Fryo Banky W Black Magic Bobby Benson Boogey Bongus Ikwue Bouqui Bracket Brymo Bright Chimezie Buchi Burna Boy C Capital FEMI Celestine Ukwu Chamillionaire Chiddy Bang Chidimma Chinyere Udoma Chris Mba Choco Girl Cidyrella Cyrus Da Virus D Dagrin Dammy Krane Darey Art Darey Un Darey.ted Dayo Bello Davido D'banj DJ Zeez Dizzy Don Jazzy D’Prince Dr Sid Dr. Victor Olaiya Duncan Mighty Durella E Ebenezer Obey Edu Ghana Eedris Abdulkareem ELDee Emma Nyra Emeka Morocco Maduka Erigga New Money Evangelist Bola Are Eric Obuh Esther Igbekele Eva Evi-Edna Ogoli F Faze Fela Kuti Femi Kuti Fatai Rolling Dollar Funmi Williams Flavour N’abani G Goldie Gozie Okeke GM Compere GT da guitarman H H-man Harrysong Henrisoul I Ibiso Ice Prince Iceberg Slim I.K Dairo Ikenga Superstars ill Bliss i-Mik
imeandikwa na prod. MicMarryEd micmarryed@gmail.com tzmusic21@gmail.com 0716842016 0755776236 Producer/ ntayarishaji wa music wa audio ni mtu anayetengeneza nyimbo zilizo katika mfumo wa audio. kuna siri nyingi za kuweza kuwa producer lakini kwa leo naomba tuanze na hizi. 1. nia - kwa kawaida ukitaka kufanya kitu chochote na kufanikiwa lazima uwe na nia ya kufanya kitu hicho hapo utafanikiwa 2. maamuzi - ukishakuwa na nia lazima ufanye maamuzi ya moja kwa moja ambayo unayapa marks 100 ambayo hayatakughalimu 3. kujitoa - ukishafanya maamuzi nilazima ukubali kujitoa kwa maana kazi ya production ni lazima kujitoa na usipojitoa kwa moyo wote hauwezi kufanya kazi nzuri 4. kujituma - mafanikio yooote yanakuja kwa kujituma usipojituma hauewezi kupata chochote utaishia tu kuwasifia watu kuwa mtu flrni mkali sana yani anapiga beati kali balaa 5. kuwa na moyo - ukishajituma nilazima uwe na moyo wa kujifunza na kuto kukata tamaa kwa sababu watu wengi huwa wanakuwa wanawahi kukat
Comments
Post a Comment