Aliyekuwa mwenyekiti wa chama tawala Nchini Burundi Hussein Rajabu ameripotiwa kutoroka jela.
Hussein Rajabu ambaye alikuwa mwanasiasa mashuhuri nchini humo alihukumiwa kifungo cha miaka 13 jela, mwaka 2007.
Rajabu alikuwa anakabiliwa na kosa la hatia ya uhaini dhidi ya serikali kwa kutaka kuzusha vurugu nchini humo.
Raia wengi wameonyesha wasiwasi wao kuhusiana na tukio hili. Kutoka Bujumbura KAZUNGU Lozy anatupasha zaidi
This list includes all music genres e.g. Rnb, pop, Rap / HipHop, Rock, Reggae, Naija, Blues, Jazz, Highlife and Gospel Singers. A-Z List below; A Ada Alabai Amaray Asa Ayinla Omowura Ay . com B Baba Fryo Banky W Black Magic Bobby Benson Boogey Bongus Ikwue Bouqui Bracket Brymo Bright Chimezie Buchi Burna Boy C Capital FEMI Celestine Ukwu Chamillionaire Chiddy Bang Chidimma Chinyere Udoma Chris Mba Choco Girl Cidyrella Cyrus Da Virus D Dagrin Dammy Krane Darey Art Darey Un Darey.ted Dayo Bello Davido D'banj DJ Zeez Dizzy Don Jazzy D’Prince Dr Sid Dr. Victor Olaiya Duncan Mighty Durella E Ebenezer Obey Edu Ghana Eedris Abdulkareem ELDee Emma Nyra Emeka Morocco Maduka Erigga New Money Evangelist Bola Are Eric Obuh Esther Igbekele Eva Evi-Edna Ogoli F Faze Fela Kuti Femi Kuti Fatai Rolling Dollar Funmi Williams Flavour N’abani G Goldie Gozie Okeke GM Compere GT da guitarman H H-man Harrysong Henrisoul I Ibiso Ice Prince Iceberg Slim I.K Dairo Ikenga Superstars ill Bliss i-Mik
imeandikwa na prod. MicMarryEd micmarryed@gmail.com tzmusic21@gmail.com 0716842016 0755776236 Producer/ ntayarishaji wa music wa audio ni mtu anayetengeneza nyimbo zilizo katika mfumo wa audio. kuna siri nyingi za kuweza kuwa producer lakini kwa leo naomba tuanze na hizi. 1. nia - kwa kawaida ukitaka kufanya kitu chochote na kufanikiwa lazima uwe na nia ya kufanya kitu hicho hapo utafanikiwa 2. maamuzi - ukishakuwa na nia lazima ufanye maamuzi ya moja kwa moja ambayo unayapa marks 100 ambayo hayatakughalimu 3. kujitoa - ukishafanya maamuzi nilazima ukubali kujitoa kwa maana kazi ya production ni lazima kujitoa na usipojitoa kwa moyo wote hauwezi kufanya kazi nzuri 4. kujituma - mafanikio yooote yanakuja kwa kujituma usipojituma hauewezi kupata chochote utaishia tu kuwasifia watu kuwa mtu flrni mkali sana yani anapiga beati kali balaa 5. kuwa na moyo - ukishajituma nilazima uwe na moyo wa kujifunza na kuto kukata tamaa kwa sababu watu wengi huwa wanakuwa wanawahi kukat
Comments
Post a Comment