picha za jana kwenye tamasha la matumaini 2014

wasanii wa Maigizo,Cloud (kushoto) na JB, wakichana wakati wa Tamasha hilo. Jb alishinda kwa Pointi.  KWA MATUKIO KAMILI YA PICHA ZA TAMASHA HILI KAA NASI HAPO BAADAYE.
  
Msanii wa kunyanyua vitu vizito, Maisala Juma akionyesha umahiri wake wa kufanya mazoezi wakati wa Tamasha la Matumaini lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania katika kuazimisha sikukuu ya Nanenane katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana.
Msanii wa muziki wa  nyimbo za dini  kutoka mbeya Bw. Ambwene Mwasongwe,akiimba na kukongonga nyoyo za mashabiki wa nyimbo zake wakati wa Tamasha la Matumaini lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania katika kuazimisha sikukuu ya  Nanenane katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana.
Kikosi cha Bongo Movie kilichokikabili kikosi cha Bongo wakati wa Tamasha la Matumaini lililoandaliwa na Global Publishers na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania katika kuazimisha sikukuu ya  Nanenane katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana.
Msanii wa Muziki wa kizazi kipya na mchezaji wa Bongo Fleva Ally Kiba wapili kushoto akishangilia na wenzake mara baada ya kuifuingia timu yake goli la kwanza katika Tamasha la Matumaini lililoandaliwa na Global Publishers na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania katika kuazimisha sikukuu ya  Nanenane katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana.
Kikosi cha Bongo Fleva kikiwa kwenye picha ya pamoja tayari kwa kukikabili  kikosi cha Bongo Movie wakati wa Tamasha la Matumaini lililoandaliwa na Global Publishers na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania katika kuazimisha sikukuu ya  Nanenane katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana.
Timu zikiingia uwanjani.

Ridhiwan akiwapa hi mashabiki.

Waamuzi wakiingia uwanjani.

Kikosi cha Yanga kilichokwaana na Simba na kuibuka na ushindi wa 3-2.

Kikosi cha Simba kilichopigwa 3-2 na Yanga.

Mwamuzi Othman Kazi akiongea na manahodha wa Yanga na Simba (Wabunge).
Mechi ya wabunge mashabiki wa Simba na Yanga iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 imemalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 3-2. Wafungaji Simba: Maji Marefu na Yusuf Gogo. Yanga: Idrissa Kitwana, Ahmed Ngwali na Mark Tanda.
Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa wamefurika katika Tamasha la Matumaini lililoandaliwa na Global Publish
Staa kutoka nchini Nigeria, Yemi Alade akipiga shoo usiku huu katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Bondia Mada Maugo amemshushia kichapo bondia Thomas Mashali katika mpambano wao kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar

 
           

Comments

Popular posts from this blog

hii ni list ya baadhi ya majina ya wasanii wa Nigeria waliohit mwaka huu kuanzia A-Z

mbinu za kuwa producer au mtayarishaji wa music