This list includes all music genres e.g. Rnb, pop, Rap / HipHop, Rock, Reggae, Naija, Blues, Jazz, Highlife and Gospel Singers. A-Z List below; A Ada Alabai Amaray Asa Ayinla Omowura Ay . com B Baba Fryo Banky W Black Magic Bobby Benson Boogey Bongus Ikwue Bouqui Bracket Brymo Bright Chimezie Buchi Burna Boy C Capital FEMI Celestine Ukwu Chamillionaire Chiddy Bang Chidimma Chinyere Udoma Chris Mba Choco Girl Cidyrella Cyrus Da Virus D Dagrin Dammy Krane Darey Art Darey Un Darey.ted Dayo Bello Davido D'banj DJ Zeez Dizzy Don Jazzy D’Prince Dr Sid Dr. Victor Olaiya Duncan Mighty Durella E Ebenezer Obey Edu Ghana Eedris Abdulkareem ELDee Emma Nyra Emeka Morocco Maduka Erigga New Money Evangelist Bola Are Eric Obuh Esther Igbekele Eva Evi-Edna Ogoli F Faze Fela Kuti Femi Kuti Fatai Rolling Dollar Funmi Williams Flavour N’abani G Goldie Gozie Okeke GM Compere GT da guitarman H H-man Harrysong Henrisoul I Ibiso Ice Prince Iceberg Slim I.K Dairo Ikenga Superstars ill Bliss i-Mik
imeandikwa na prod. MicMarryEd micmarryed@gmail.com tzmusic21@gmail.com 0716842016 0755776236 Producer/ ntayarishaji wa music wa audio ni mtu anayetengeneza nyimbo zilizo katika mfumo wa audio. kuna siri nyingi za kuweza kuwa producer lakini kwa leo naomba tuanze na hizi. 1. nia - kwa kawaida ukitaka kufanya kitu chochote na kufanikiwa lazima uwe na nia ya kufanya kitu hicho hapo utafanikiwa 2. maamuzi - ukishakuwa na nia lazima ufanye maamuzi ya moja kwa moja ambayo unayapa marks 100 ambayo hayatakughalimu 3. kujitoa - ukishafanya maamuzi nilazima ukubali kujitoa kwa maana kazi ya production ni lazima kujitoa na usipojitoa kwa moyo wote hauwezi kufanya kazi nzuri 4. kujituma - mafanikio yooote yanakuja kwa kujituma usipojituma hauewezi kupata chochote utaishia tu kuwasifia watu kuwa mtu flrni mkali sana yani anapiga beati kali balaa 5. kuwa na moyo - ukishajituma nilazima uwe na moyo wa kujifunza na kuto kukata tamaa kwa sababu watu wengi huwa wanakuwa wanawahi kukat
Comments
Post a Comment